Wayahudi wanaopinga mfumo wa kizayuni wameandamano mjini New York kupinga uamuzi wa rais wa Marekani kutangaza kuutambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.
Wayahudi hao wanaotambulika kwa jina la Neturei Karta walikuwa na mabango mbele ya makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakikemea uamuzi wa Trump kuhusu jiji la Jerusalem.
Wayahui hao wanaituhumu serikali ya Israel kuupora mji mtakatifu.
Wayahudi hao wanaotambulika kwa jina la Neturei Karta walikuwa na mabango mbele ya makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakikemea uamuzi wa Trump kuhusu jiji la Jerusalem.
Wayahui hao wanaituhumu serikali ya Israel kuupora mji mtakatifu.
- Get link
- Other Apps
Labels
SIASA
Labels:
SIASA
- Get link
- Other Apps
Comments