Skip to main content

Marekani: Wayahudi waandamana kupinga uamuzi wa Trump kuhusu Jerusalem

Wayahudi wanaopinga  mfumo wa kizayuni wameandamano mjini New York  kupinga uamuzi wa rais wa Marekani kutangaza kuutambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

Wayahudi hao wanaotambulika kwa jina la Neturei Karta walikuwa na mabango mbele ya  makao makuu ya Umoja wa Mataifa  wakikemea uamuzi wa Trump kuhusu jiji la Jerusalem.

Wayahui hao wanaituhumu serikali ya Israel kuupora mji mtakatifu.

Comments

Popular posts

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Septemba 18

MAGAZETI YA LEO 2/10/2017