Akizungumza katika mahojiano na waandishi wa habari baada ya kuwatunuku vyeti wahitimu hao bwana Hamza Johari amewaasa wahitimu hao,ambao wengi wao wanatoka nchini Uganda, kutumia mafunzo waliyopata kuboresha zaidi sekta ya usafiri wa anga nchini mwao na Afrika Mashariki.
Chuo cha Kimataifa cha mafunzo ya usafiri wa anga, ambachO kinatambuliwa na NACTE na mabaraza mengine yanayosimamia taaluma za usafiri wa anga duniani, kinachukua wanafunzi kutoka Uganda, Botswana, Swaziland, Rwanda, Lesotho na nchinyingine za Afrika.
- Get link
- X
- Other Apps
Labels
ELIMU
Labels:
ELIMU
- Get link
- X
- Other Apps

Comments