Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2017

MAGAZETI YA LEO 30/9/2017

APPLICANTS SELECTED TO UNDERTAKE POSTGRADUATE STUDIES FOR 2017/2018 ACADEMIC YEAR – FIRST AND SECOND BATCH

<<BOFYA HAPA >>  KUONA MAJINA

Majambazi wapora msikitini, wamjeruhi mlinzi kwa panga

                         WATU wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, wamevamia Msikiti Mkuu wa Ijumaa ulioko Kata ya Igunga Mjini wilayani hapa mkoani Tabora, kisha kumjeruhi mlinzi na kupora baadhi ya vitu ikiwemo vitabu vya dini ya Kiislamu. Mlinzi aliyejeruhiwa ni Juma Mussa (55), mkazi wa Mtaa wa Nkokoto kata ya Igunga ambaye amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga na hali yake bado ni mbaya. Mkuu wa Wilaya ya Igunga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, John Mwaipopo alithibitisha kutokea kwa uhalifu huo na mtuhumiwa mmoja amekamatwa pamoja na vitu vilivyoibwa. Alimtaja mtuhumia huyo kuwa ni Juma Mponi (45) ambaye ni mkazi wa Mtaa wa Stendi ya Mabasi mjini Igunga, na kutamba kuwa hakuna jambazi atakayetoka salama Igunga kwa kuwa polisi wamejipanga kikamilifu kukabiliana na matukio kama hayo. Akizungumza kwa shida akiwa wodini, mlinzi huyo alisema shambulio hilo limetokea Septemba 25, mwaka huu saa 8 usiku, ambako watu hao walifika msikitini hapo k

RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY LIST OF SELECTED APPLICANTS TO JOIN VARIOUS DIPLOMA & CERTIFICATE PROGRAMMES (2017/2018)

Majina haya apa << bofya hapa>>

Sokoine Unversity of Agriculture First Batch of Students Selected to Join Certificate and Diploma Programmes for Academic Year 2017/2018

Haya hapa majina << bofya hapa >>

Wanafunzi walio chaguliwa cheti na diploma Chuo kikuu cha Arusha

Hawa apa wanafunzi walio chaguliwa <<bofya hapa kuona>>

List of selected Kolandoto College Of Health Sciences students 2017/2018

Majina ya wanafunzi walio chaguliwa  <<bofya hapa>>

Uchaguzi Kenya kuahirishwa

UCHAGUZI wa marudio wa urais nchini Kenya huenda ukaahirishwa kutoka tarehe 17 mwezi ujao. Tume ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, imekuwa ikikutana kuangalia uwezekano wa kuahirisha Uchaguzi huu baada ya kampuni ya Ufaransa ya Safran Morpho kuomba muda zaidi kuboresha mitambo inayotumiwa kuwatambua wapiga kura. Mbali na hilo, Muungano wa Upinzani Nasa, unaoongozwa na Raila Odinga, umesema Uchaguzi hautafanyika iwapo marekebisho hayatafanyika ndani ya Tume ya uchaguzi ikiwa ni pamoja na kujiuzulu kwa Ezra Chiloba Mkurugenzi Mkuu wa Tume hiyo. Chama cha Jubilee cha rais Uhuru Kenyatta kinashutumu shinikizo hilo la upinzani na kusisitiza uchaguzi ufanyike kama ulivyopangwa.

Hatimaye Hamisa Mobetto Amuweka Wazi Baba Wa Prince Abdul.

Mwanamitindo Hamisa Mobetto ameamua kuweka mambo hadharani kwa kumtaja baba wa toto wake wa pili AbdulLatif kuwa ni Diamond Platnumz. Kwa mujibu wa akaunti ya mtandao wa Instagram ya mtoto huyo inaonyesha jina kamili la mtoto kuwa ni “Dully Dangote (AbdulLatif Naseeb Abdul Juma )Lion 🦁 (Leo) -8|8|2017 TanzanianBaby 👑 @hamisamobetto & Diamond Platnumz Son.” Miezi kadhaa nyuma Diamond Platnumz alikuwa akikana kuhusika kutoka kimapenzi na mwanamitindo huyo na pia kukana mimba aliyokuwa nayo mrembo huyo. Hamisa ambaye alianza kutaja majina ya baba wa mtoto huyo miezi kadhaa nyuma kwa herufi za mwanzo, hatimaye ameweka jina lote la baba huyo katika akaunti ya mtandao wa kijamii wa Instagram. Abdullatif ni mtoto wa pili wa mrembo huyo ambapo mtoto wa kwanza Fantasy alizaa na Mkurugenzi wa EFM, Majay.

MAGAZETI YA LEO 19/9/2017